𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗨𝗧𝗨𝗠𝗜𝗘 𝗠𝗕𝗢𝗟𝗘𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗨𝗣𝗘𝗥 𝗚𝗥𝗢?
• Inarutubisha ardhi. Kwani huwezesha maji kupenya hadi tabaka la tatu la udongo ambalo huwa na madini na virutubisho vingi.
• Inasaidia maua yasipukutike na upepo hivyo kuongeza mazao kwa wingi.
• Inasaidia viuwatilifu kufanya kazi vizuri.Kwani supergro ni kama gundi huwezesha madawa ya kilimo aina zote kushika vizuri zaidi kwenye majani na hivyo madawa kuuwa wadudu kwa urahisi zaidi.
• Huleta na kuongeza ukijani katika mimea hivyo kufanya mimea iweze kujitengenezea chakula.
• Huleta nguvu mpya kwa mazao yaliyolemaa.
• Husaidia mazao kukua kwenye kimo kimoja.
• Inazuia fangasi au ukungu kwenye mimea.
• Inaongeza mavuno na ukubwa wa matunda kwa asilimia zote
• Huongeza uzito wa mazao kama mapapai,maembe,maparachichi, maharage,kunde,mahindi,mapera,karoti,hoho na mengineyo.
• Inaongeza uwezo wa udongo kutunza unyevunyevu.Hivyo hata jua likiwa kali sana bado mimea yako itakuwa imara na haitasinyaa kamwe.
• Inalinda ladha halisi ya tunda.Ladha ya tunda inakuwa tofauti sana na tunda ambalo halikulimwa na supergro.
• Kuimarisha mazao na kuyasaidia yasiliwe au kubunguliwa na wadudu.
ONGEZA MAZAO YAKO SASA
KUPATA super GRO ORIGINAL Nipingie au whatsapp 0748168498 📞






0 Comments