Faida ya omega 3 

1. Inaondoa mafuta mabaya (cholesterol) katika mishipa ya damu   

2. Husaidia afya ya moyo na mzunguko wa damu  

3. Husaidia afya ya viungo (joints) kwa kuongeza ute ute (synovial fluid ) hata gouts 

 4. Hukukinga na shinikizo la moyo  

5. Husaidia kuongeza kumbukumbu na kwa watoto pia husaidia  

6. Hushusha pressure ya kupanda  

7. Inasaidia afya ya ubongo  

8. Inatibu kipanda uso ( migraine headaches )  

9. Husaidia afya ya macho  

10. Inasaidia ufanyaji kazi wa kongosho  

11. Inaondoa rashes kwenye ngozi  

12. Inazuia magonjwa ya kurithi iwapo itanywewa wakati wa ujauzito  

13. Inapoza maumivu ( ant inflammatory effect )  

14. Ikitumiwa na chelated zinc husaidia afya Prostate Gland hivyo huzuia kansa ya kibofu cha mkojo .

Wasiliana na me whatsapp au pg 0748168498